Mhubiri 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Sasa nimejua kwamba kazi zote za Mungu wa kweli zitadumu milele. Hakuna chochote kinachoweza kuongezwa wala chochote kinachoweza kupunguzwa kwenye kazi zake. Mungu wa kweli amezifanya ziwe hivyo, ili watu wamwogope.+ Mhubiri Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 3:14 Mnara wa Mlinzi,9/15/1987, uku. 24
14 Sasa nimejua kwamba kazi zote za Mungu wa kweli zitadumu milele. Hakuna chochote kinachoweza kuongezwa wala chochote kinachoweza kupunguzwa kwenye kazi zake. Mungu wa kweli amezifanya ziwe hivyo, ili watu wamwogope.+