Mhubiri 8:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hayo yote nimeyaona, nami nimetafakari moyoni mwangu kila kazi ambayo imefanywa chini ya jua, wakati ambapo mwanadamu amemtawala mwanadamu mwenzake kwa kumuumiza.*+ Mhubiri Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 8:9 w02 1/1 4-5 Mhubiri Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 8:9 Furahia Maisha Milele!, somo la 31 Amkeni!,Na. 3 2017, uku. 6 Mnara wa Mlinzi,1/1/2002, kur. 4-5
9 Hayo yote nimeyaona, nami nimetafakari moyoni mwangu kila kazi ambayo imefanywa chini ya jua, wakati ambapo mwanadamu amemtawala mwanadamu mwenzake kwa kumuumiza.*+