Isaya 28:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Alikuwa amewaambia: “Hapa ndipo mahali pa kupumzika. Yule aliyechoka na apumzike; hapa ndipo mahali pa kuburudika,” lakini walikataa kusikiliza.+ Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 28:12 Mnara wa Mlinzi,6/1/1991, kur. 14-15
12 Alikuwa amewaambia: “Hapa ndipo mahali pa kupumzika. Yule aliyechoka na apumzike; hapa ndipo mahali pa kuburudika,” lakini walikataa kusikiliza.+