Isaya 29:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Maono yote yamekuwa kwenu kama maneno ya kitabu ambacho kimefungwa kwa muhuri.+ Wakimpa mtu anayejua kusoma na kumwambia: “Tafadhali, kisome kwa sauti,” atasema: “Siwezi, kwa maana kimefungwa kwa muhuri.” Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 29:11 ip-1 298-299 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 29:11 Unabii wa Isaya 1, kur. 298-299
11 Maono yote yamekuwa kwenu kama maneno ya kitabu ambacho kimefungwa kwa muhuri.+ Wakimpa mtu anayejua kusoma na kumwambia: “Tafadhali, kisome kwa sauti,” atasema: “Siwezi, kwa maana kimefungwa kwa muhuri.”