19 Hakuna mtu anayetafakari moyoni mwake
Wala aliye na ujuzi na uelewaji, anayesema:
“Nusu yake niliiteketeza motoni,
Nami nimeoka mkate juu ya makaa yake na kuchoma nyama ya kula.
Basi, je, ninapaswa kutumia sehemu inayobaki kutengeneza kitu kinachochukiza?+
Je, ninapaswa kuabudu kipande cha mbao?”