Yeremia 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mtakuwa wengi nanyi mtazaa matunda nchini siku hizo,” asema Yehova.+ “Hawatasema tena, ‘Sanduku la agano la Yehova!’ Halitaingia moyoni, wala hawatalikumbuka au kulitamani, nalo halitatengenezwa tena.
16 Mtakuwa wengi nanyi mtazaa matunda nchini siku hizo,” asema Yehova.+ “Hawatasema tena, ‘Sanduku la agano la Yehova!’ Halitaingia moyoni, wala hawatalikumbuka au kulitamani, nalo halitatengenezwa tena.