Yeremia 4:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Sasa kwa kuwa umeangamizwa, utafanya nini? Ulikuwa ukivaa nguo nyekundu,Ukijipamba kwa mapambo ya dhahabu,Na kupanua macho yako kwa kuyapaka rangi nyeusi.* Lakini ulijirembesha bure,+Kwa maana waliokutamani wamekukataa;Sasa wanataka kukuua.+
30 Sasa kwa kuwa umeangamizwa, utafanya nini? Ulikuwa ukivaa nguo nyekundu,Ukijipamba kwa mapambo ya dhahabu,Na kupanua macho yako kwa kuyapaka rangi nyeusi.* Lakini ulijirembesha bure,+Kwa maana waliokutamani wamekukataa;Sasa wanataka kukuua.+