Yeremia 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nitaenda kwa watu mashuhuri na kuzungumza nao,Kwa maana lazima wameijua njia ya Yehova,Hukumu ya Mungu wao.+ Lakini wote walikuwa wameivunja niraNa kuvikata vizuizi.”*
5 Nitaenda kwa watu mashuhuri na kuzungumza nao,Kwa maana lazima wameijua njia ya Yehova,Hukumu ya Mungu wao.+ Lakini wote walikuwa wameivunja niraNa kuvikata vizuizi.”*