-
Yeremia 8:1Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 “Wakati huo,” asema Yehova, “mifupa ya wafalme wa Yuda, mifupa ya wakuu wake, mifupa ya makuhani, mifupa ya manabii, na mifupa ya wakaaji wa Yerusalemu itatolewa katika makaburi yao.
-