11 ‘Kwa maana kama vile mshipi unavyoshikamana na kiuno cha mtu, ndivyo nilivyowafanya watu wote wa nyumba ya Israeli na watu wote wa nyumba ya Yuda washikamane nami,’ asema Yehova, ‘ili wawe watu wangu,+ jina,+ sifa, na kitu maridadi kwangu. Lakini hawakutii.’+