Yeremia 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kisha Pashuri akampiga nabii Yeremia na kumweka katika mikatale+ iliyokuwa kwenye Lango la Juu la Benjamini, lililokuwa katika nyumba ya Yehova. Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 20:2 jr 57, 84 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 20:2 Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, uku. 2023 Yeremia, kur. 57-58, 84
2 Kisha Pashuri akampiga nabii Yeremia na kumweka katika mikatale+ iliyokuwa kwenye Lango la Juu la Benjamini, lililokuwa katika nyumba ya Yehova.