-
Yeremia 20:4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Kwa maana Yehova anasema hivi: ‘Nitakufanya uwe kitu cha kutia hofu kwako mwenyewe na kwa marafiki wako wote, nao watauawa kwa upanga wa maadui wao huku macho yako yakitazama;+ nami nitawatia watu wote wa Yuda mikononi mwa mfalme wa Babiloni, naye atawapeleka uhamishoni kule Babiloni na kuwaua kwa upanga.+
-