Yeremia 23:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Hata hivyo, siku zinakuja,” asema Yehova, “wakati ambapo hawatasema tena, ‘Kwa hakika kama Yehova anavyoishi, aliyewatoa watu wa Israeli nchini Misri!’+
7 “Hata hivyo, siku zinakuja,” asema Yehova, “wakati ambapo hawatasema tena, ‘Kwa hakika kama Yehova anavyoishi, aliyewatoa watu wa Israeli nchini Misri!’+