Yeremia 28:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nabii Yeremia akasema: “Amina!* Yehova na afanye hivyo! Yehova na atimize maneno yako uliyotabiri kwa kuvirudisha mahali hapa vyombo vya nyumba ya Yehova kutoka Babiloni na pia watu wote waliopelekwa uhamishoni!
6 Nabii Yeremia akasema: “Amina!* Yehova na afanye hivyo! Yehova na atimize maneno yako uliyotabiri kwa kuvirudisha mahali hapa vyombo vya nyumba ya Yehova kutoka Babiloni na pia watu wote waliopelekwa uhamishoni!