Yeremia 29:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 ‘Yehova amekuweka kuwa kuhani badala ya kuhani Yehoyada, ili uwe mwangalizi wa nyumba ya Yehova, uwe msimamizi wa mwendawazimu yeyote anayetenda kama nabii na kumweka katika mikatale na katika kongwa;*+
26 ‘Yehova amekuweka kuwa kuhani badala ya kuhani Yehoyada, ili uwe mwangalizi wa nyumba ya Yehova, uwe msimamizi wa mwendawazimu yeyote anayetenda kama nabii na kumweka katika mikatale na katika kongwa;*+