Yeremia 30:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mtu wake mashuhuri atatoka kati yake,Na mtawala wake atatoka kati yake. Nitamfanya akaribie, naye atanikaribia.” “La sivyo, ni nani anayeweza kuthubutu kunikaribia?”* asema Yehova.
21 Mtu wake mashuhuri atatoka kati yake,Na mtawala wake atatoka kati yake. Nitamfanya akaribie, naye atanikaribia.” “La sivyo, ni nani anayeweza kuthubutu kunikaribia?”* asema Yehova.