Yeremia 34:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Nilifanya agano pamoja na mababu zenu+ siku niliyowatoa nchini Misri, kutoka katika nyumba ya utumwa,+ nikisema:
13 “Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Nilifanya agano pamoja na mababu zenu+ siku niliyowatoa nchini Misri, kutoka katika nyumba ya utumwa,+ nikisema: