12 akashuka kwenda kwenye nyumba ya mfalme, katika chumba cha mwandishi. Wakuu wote walikuwa wameketi humo: mwandishi Elishama,+ Delaya mwana wa Shemaya, Elnathani+ mwana wa Akbori,+ Gemaria mwana wa Shafani, Sedekia mwana wa Hanania, na wakuu wengine wote.