Yeremia 36:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na neno hili la Yehova likamjia Yeremia tena baada ya mfalme kukiteketeza kile kitabu cha kukunjwa kilichokuwa na maneno ambayo Baruku aliyaandika Yeremia alipokuwa akiyasema:+
27 Na neno hili la Yehova likamjia Yeremia tena baada ya mfalme kukiteketeza kile kitabu cha kukunjwa kilichokuwa na maneno ambayo Baruku aliyaandika Yeremia alipokuwa akiyasema:+