Yeremia 37:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova anasema hivi: “Msijidanganye* kwa kusema, ‘Hakika Wakaldayo wataondoka na kutuacha,’ kwa sababu hawataondoka.
9 Yehova anasema hivi: “Msijidanganye* kwa kusema, ‘Hakika Wakaldayo wataondoka na kutuacha,’ kwa sababu hawataondoka.