10 Ishmaeli akawachukua mateka watu wote waliobaki huko Mispa,+ kutia ndani mabinti wa mfalme na watu wote waliobaki Mispa, ambao Nebuzaradani mkuu wa walinzi alikuwa amewaweka chini ya ulinzi wa Gedalia+ mwana wa Ahikamu. Ishmaeli mwana wa Nethania aliwachukua mateka na kuvuka kwenda kwa Waamoni.+