Yeremia 49:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “Kimbieni, nendeni mbali sana! Nendeni mkae katika sehemu za chini zenye kina, enyi wakaaji wa Hasori,” asema Yehova. “Kwa maana Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni ametunga mbinu dhidi yenu,Naye amefanya mpango wa kuwashambulia.”
30 “Kimbieni, nendeni mbali sana! Nendeni mkae katika sehemu za chini zenye kina, enyi wakaaji wa Hasori,” asema Yehova. “Kwa maana Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni ametunga mbinu dhidi yenu,Naye amefanya mpango wa kuwashambulia.”