Yeremia 50:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Yehova wa majeshi anasema hivi: “Watu wa Israeli na Yuda wamekandamizwa,Na wale wote wanaowachukua mateka wamewazuilia.+ Wamekataa kuwaachilia waende.+
33 Yehova wa majeshi anasema hivi: “Watu wa Israeli na Yuda wamekandamizwa,Na wale wote wanaowachukua mateka wamewazuilia.+ Wamekataa kuwaachilia waende.+