Yeremia 52:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Katika mwezi wa tano, siku ya kumi ya mwezi huo, yaani, mwaka wa 19 wa utawala wa Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni, Nebuzaradani mkuu wa walinzi, aliyekuwa mhudumu wa mfalme wa Babiloni, aliingia Yerusalemu.+ Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 52:12 w07 3/15 11 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 52:12 Mnara wa Mlinzi,3/15/2007, uku. 11 “Kila Andiko,” uku. 285
12 Katika mwezi wa tano, siku ya kumi ya mwezi huo, yaani, mwaka wa 19 wa utawala wa Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni, Nebuzaradani mkuu wa walinzi, aliyekuwa mhudumu wa mfalme wa Babiloni, aliingia Yerusalemu.+