Ezekieli 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hivyo ndivyo nyuso zao zilivyokuwa. Mabawa yao yalikuwa yamenyooshwa juu yao. Kila mmoja wao alikuwa na mabawa mawili yaliyogusana na mabawa mawili yaliyofunika miili yao.+
11 Hivyo ndivyo nyuso zao zilivyokuwa. Mabawa yao yalikuwa yamenyooshwa juu yao. Kila mmoja wao alikuwa na mabawa mawili yaliyogusana na mabawa mawili yaliyofunika miili yao.+