Ezekieli 1:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Chini ya anga hilo mabawa yao yalikuwa yamenyooka,* moja kuelekea lingine. Kila mmoja alikuwa na mabawa mawili ya kufunika upande mmoja wa mwili wake na mawili ya kufunika upande mwingine.
23 Chini ya anga hilo mabawa yao yalikuwa yamenyooka,* moja kuelekea lingine. Kila mmoja alikuwa na mabawa mawili ya kufunika upande mmoja wa mwili wake na mawili ya kufunika upande mwingine.