- 
	                        
            
            Ezekieli 12:28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
28 Kwa hiyo waambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “‘Hakuna neno langu lolote litakalokawia; jambo lolote nitakalosema litafanywa,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”’”
 
 -