18 Waambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Ole wao wanawake wanaoshona pamoja tepe kwa ajili ya mikono yote na kutengeneza shela kwa ajili ya vichwa vya kila ukubwa ili kuwinda uhai wa watu! Je, mnawinda uhai wa watu wangu na kujaribu kuhifadhi uhai wenu wenyewe?