-
Ezekieli 14:4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Sasa zungumza nao uwaambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Ikiwa Mwisraeli ameazimia kufuata sanamu zake zinazochukiza na kuweka kikwazo kinachowafanya watu watende dhambi kisha anaenda kuomba ushauri kutoka kwa nabii, mimi, Yehova, nitamjibu ipasavyo kulingana na sanamu zake nyingi zinazochukiza.
-