Ezekieli 14:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana nitatia hofu katika mioyo ya watu wa nyumba ya Israeli* kwa sababu wote wameniacha na kuzifuata sanamu zao zinazochukiza.”’+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 14:5 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, uku. 17
5 Kwa maana nitatia hofu katika mioyo ya watu wa nyumba ya Israeli* kwa sababu wote wameniacha na kuzifuata sanamu zao zinazochukiza.”’+