Ezekieli 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Mwana wa binadamu, ikiwa nchi itanitendea dhambi kwa kukosa uaminifu, nitaunyoosha mkono wangu dhidi yake na kufanya chakula kisipatikane*+ na kuleta njaa kali nchini+ na kuwaangamiza kabisa wanadamu na wanyama kutoka humo.”+
13 “Mwana wa binadamu, ikiwa nchi itanitendea dhambi kwa kukosa uaminifu, nitaunyoosha mkono wangu dhidi yake na kufanya chakula kisipatikane*+ na kuleta njaa kali nchini+ na kuwaangamiza kabisa wanadamu na wanyama kutoka humo.”+