Ezekieli 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ukaendelea kujipamba kwa dhahabu na fedha, na mavazi yako yalikuwa kitani bora, kitambaa cha bei ghali, na vazi lililotariziwa. Ulikula unga laini, asali, na mafuta, nawe ukawa mrembo kupindukia,+ ukastahili kuwa malkia.’”* Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 16:13 “Kila Andiko,” uku. 135
13 Ukaendelea kujipamba kwa dhahabu na fedha, na mavazi yako yalikuwa kitani bora, kitambaa cha bei ghali, na vazi lililotariziwa. Ulikula unga laini, asali, na mafuta, nawe ukawa mrembo kupindukia,+ ukastahili kuwa malkia.’”*