Ezekieli 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “‘Sifa zako zikaanza* kuenea kati ya mataifa+ kwa sababu ya urembo wako, kwa maana urembo wako ulikuwa kamili kwa sababu niliweka fahari yangu mwenyewe juu yako,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
14 “‘Sifa zako zikaanza* kuenea kati ya mataifa+ kwa sababu ya urembo wako, kwa maana urembo wako ulikuwa kamili kwa sababu niliweka fahari yangu mwenyewe juu yako,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”