Ezekieli 16:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Watu huwapa zawadi makahaba wote,+ lakini wewe ndiye unayewapa zawadi wote walio na uchu kukuelekea,+ nawe unawapa rushwa ili waje kwako kutoka pande zote ili kufanya ukahaba.+
33 Watu huwapa zawadi makahaba wote,+ lakini wewe ndiye unayewapa zawadi wote walio na uchu kukuelekea,+ nawe unawapa rushwa ili waje kwako kutoka pande zote ili kufanya ukahaba.+