52 Lazima sasa ubebe fedheha yako kwa kuwa umetetea tabia za dada zako. Kwa sababu ya dhambi yako ya kutenda mambo yanayochukiza kuliko wao, wao ni waadilifu kuliko wewe. Basi sasa, na uaibike na kubeba fedheha ya kuwafanya dada zako waonekane kuwa waadilifu.’