Ezekieli 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “‘Nanyi mtasema: “Kwa nini mwana hana hatia kwa sababu ya kosa la baba yake?” Kwa kuwa mwana ametenda mambo ya haki na ya uadilifu, amezishika amri zangu zote na kuzitenda, kwa hakika ataendelea kuishi.+
19 “‘Nanyi mtasema: “Kwa nini mwana hana hatia kwa sababu ya kosa la baba yake?” Kwa kuwa mwana ametenda mambo ya haki na ya uadilifu, amezishika amri zangu zote na kuzitenda, kwa hakika ataendelea kuishi.+