Ezekieli 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao ukatokeza matawi yenye nguvu,* yanayofaa kuwa fimbo za ufalme za watawala. Ukakua, ukawa mrefu kuliko miti mingine, Nao ukaonekana kwa sababu ya urefu wake na wingi wa majani yake.
11 Nao ukatokeza matawi yenye nguvu,* yanayofaa kuwa fimbo za ufalme za watawala. Ukakua, ukawa mrefu kuliko miti mingine, Nao ukaonekana kwa sababu ya urefu wake na wingi wa majani yake.