Ezekieli 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “‘Mwana wa binadamu, lia kwa sauti na uomboleze,+ kwa maana upanga umekuja dhidi ya watu wangu; uko dhidi ya wakuu wote wa Israeli.+ Na upanga huo utawaangamiza pamoja na watu wangu. Kwa hiyo piga paja lako kwa huzuni.
12 “‘Mwana wa binadamu, lia kwa sauti na uomboleze,+ kwa maana upanga umekuja dhidi ya watu wangu; uko dhidi ya wakuu wote wa Israeli.+ Na upanga huo utawaangamiza pamoja na watu wangu. Kwa hiyo piga paja lako kwa huzuni.