Ezekieli 22:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Kwa hiyo, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa kama takataka isiyo na thamani,+ ninawakusanya pamoja ndani ya Yerusalemu.
19 “Kwa hiyo, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa kama takataka isiyo na thamani,+ ninawakusanya pamoja ndani ya Yerusalemu.