Ezekieli 23:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Aliwatamani kwa uchu majirani zake wana wa Ashuru,+ magavana na watawala wasaidizi waliovaa mavazi ya kifahari na waliopanda farasi—wote walikuwa vijana wanaovutia.
12 Aliwatamani kwa uchu majirani zake wana wa Ashuru,+ magavana na watawala wasaidizi waliovaa mavazi ya kifahari na waliopanda farasi—wote walikuwa vijana wanaovutia.