Ezekieli 23:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Utakunywa kikombe kipana na chenye kina cha dada yako,+ Nawe utakuwa kitu cha kuchekwa na kudhihakiwa, na kikombe hicho kina mambo hayo kwa wingi.+
32 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Utakunywa kikombe kipana na chenye kina cha dada yako,+ Nawe utakuwa kitu cha kuchekwa na kudhihakiwa, na kikombe hicho kina mambo hayo kwa wingi.+