Ezekieli 25:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kwa hiyo, ninakutia mikononi mwa Watu wa Mashariki uwe mali yao. Watapiga kambi zao* ndani yako na kusimamisha mahema yao kati yako. Watakula matunda yako, na kunywa maziwa yako.
4 kwa hiyo, ninakutia mikononi mwa Watu wa Mashariki uwe mali yao. Watapiga kambi zao* ndani yako na kusimamisha mahema yao kati yako. Watakula matunda yako, na kunywa maziwa yako.