Ezekieli 26:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anamwambia Tiro hivi: ‘Je, visiwa havitatetemeka vitakaposikia sauti ya kuanguka kwako, wanaokaribia kufa* watakapokuwa wakilia kwa maumivu makali, na uchinjaji utakapokuwa ukiendelea ndani yako?+
15 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anamwambia Tiro hivi: ‘Je, visiwa havitatetemeka vitakaposikia sauti ya kuanguka kwako, wanaokaribia kufa* watakapokuwa wakilia kwa maumivu makali, na uchinjaji utakapokuwa ukiendelea ndani yako?+