Ezekieli 26:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Wakuu wote wa bahari hakika watashuka kutoka kwenye viti vyao vya ufalme na kuvua kanzu zao* na mavazi yao yaliyotariziwa, nao wataanza* kutetemeka. Wataketi chini na kuendelea kutetemeka na kukuangalia kwa mshangao.+
16 Wakuu wote wa bahari hakika watashuka kutoka kwenye viti vyao vya ufalme na kuvua kanzu zao* na mavazi yao yaliyotariziwa, nao wataanza* kutetemeka. Wataketi chini na kuendelea kutetemeka na kukuangalia kwa mshangao.+