Ezekieli 28:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “‘“Na watu wa nyumba ya Israeli hawatazungukwa tena na michongoma inayodhuru na miiba mikali,+ wale wanaowadhihaki; na watu watalazimika kujua kwamba mimi ni Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”’
24 “‘“Na watu wa nyumba ya Israeli hawatazungukwa tena na michongoma inayodhuru na miiba mikali,+ wale wanaowadhihaki; na watu watalazimika kujua kwamba mimi ni Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”’