Ezekieli 30:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Niko dhidi ya mfalme Farao wa Misri,+ nami nitaivunja mikono yake, mkono wenye nguvu na ule uliovunjika,+ nami nitaufanya upanga uanguke kutoka mkononi mwake.+
22 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Niko dhidi ya mfalme Farao wa Misri,+ nami nitaivunja mikono yake, mkono wenye nguvu na ule uliovunjika,+ nami nitaufanya upanga uanguke kutoka mkononi mwake.+