Ezekieli 32:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “‘Kutoka kwenye vina vya Kaburi* mashujaa hodari zaidi watazungumza naye na wasaidizi wake. Hakika watashuka chini na kulala kama watu ambao hawajatahiriwa, waliouawa kwa upanga.
21 “‘Kutoka kwenye vina vya Kaburi* mashujaa hodari zaidi watazungumza naye na wasaidizi wake. Hakika watashuka chini na kulala kama watu ambao hawajatahiriwa, waliouawa kwa upanga.