Ezekieli 32:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “‘Watu wa Mesheki na Tubali+ na umati wao* wote wako huko. Makaburi yao yamemzunguka. Wote hawajatahiriwa, wamechomwa kwa upanga, kwa sababu walisababisha hofu katika nchi ya walio hai.
26 “‘Watu wa Mesheki na Tubali+ na umati wao* wote wako huko. Makaburi yao yamemzunguka. Wote hawajatahiriwa, wamechomwa kwa upanga, kwa sababu walisababisha hofu katika nchi ya walio hai.