Ezekieli 33:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Mwana wa binadamu, wakaaji wa magofu+ haya wanasema hivi kuhusu nchi ya Israeli: ‘Abrahamu alikuwa mtu mmoja tu, hata hivyo aliimiliki nchi hii.+ Lakini sisi ni wengi; kwa hakika tumepewa nchi hii iwe mali yetu.’
24 “Mwana wa binadamu, wakaaji wa magofu+ haya wanasema hivi kuhusu nchi ya Israeli: ‘Abrahamu alikuwa mtu mmoja tu, hata hivyo aliimiliki nchi hii.+ Lakini sisi ni wengi; kwa hakika tumepewa nchi hii iwe mali yetu.’