Ezekieli 36:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naam, nitazidisha idadi ya watu wako na mifugo yako;+ wataongezeka na kuzaana. Nami nitafanya ukaliwe kama ilivyokuwa zamani,+ nami nitakufanya usitawi kuliko mwanzoni;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.+
11 Naam, nitazidisha idadi ya watu wako na mifugo yako;+ wataongezeka na kuzaana. Nami nitafanya ukaliwe kama ilivyokuwa zamani,+ nami nitakufanya usitawi kuliko mwanzoni;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.+